Mkuu wa Kongamano la Kimataifa la Wauyghur katika mahojiano na IQNA
TEHRAN (IQNA) - Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kimataifa ya Jamii ya Uyghur Dolkun Isa anasema serikali ya China inaendeleza kampeni dhidi ya Waislamu wa jamii ya Uyghur kwa kisingizio cha kupambana na misimamo mikali ya kidini.
Habari ID: 3473671 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/21